Promote your business for free grow your business for life you don't need to spend more money anywhere.

THIS BLOG IS SPONSORED BY AHADIWAY ,ADVANTAGES FOR JOINING AHADIWAY BOON CAREER (ABC) CHAPTER = Employment opportunities within and outside the country. , Job experience , Self -employment , Field stations, part time jobs and chances to be trained.

Friday, May 25, 2012

MDALASINI,TANGO NA ASALI DAWA YA URIJALI





jamani wenzangu nina jambo mlikuwa mnajua kama mdalasini, asali na tango ni dawa ya kumpa mtu nguvu kwenye mechi? kama ulikuwa hujui ndio ufahamu eti.. 

kuna dada mmoja alikuwa analalamika mpenzi wake nguvu kitandani hana, anasema jamaa akishatoa moja tu basi nguvu zote zinaisha jamaa hawezi hata kurudia ya pili, na hapo mwanamke wake huyo anakuwa hajatosheka lakini jamaa hajiwezi kabisa.. 

sasa huyu dada akawa anaomba ushauri kwa watu wazima akiwaeleza swala lake na mumewe watu wengi wakawa wanamshauri mengi tu pamoja na ya kwamba mumewe anywe maji ya mchele yale ya kwanza, sijui mwengine akamwambia anywe maji ya madafu kwa wingi na wengine wakimwambia aende kutafuta dawa za miti shamba... 

akafika kwa bibi mmoja wa zamani (umri umeenda) yule bibi akamwambia yule dada ampe mumewe mdalasini pamoja na asali achanganye kwa pamoja atie na maji ama aiweke kwenye chai, halafu kila chakula cha yule baba kisikose kipande cha tango.. 

yule dada akafanya kama alivyoambiwa na yule bibi, sasa hivi dada anafuraha mambo si shwari, kwahiyo huu ni ushauri tu ya kwamba ukiona mwezio nguvu hana akienda moja anahema kama kasukuma trekta, mwanaume anahema kama presha imeshuka (hehehe) basi sio vibaya ukijaribu hayo.. 

lakini naomba niseme sio tu kwasababu huyu dada yeye mpenzi wake alipata nafuu ndio kila mtu itakuwa hivyo wengine vyao vya kurithi utalisha hivyo vitu milele jamaa hata kubadilika asibadilike...

3 comments:

Anonymous said...

It is also enabled with 4G LTE, 3G HSPA and NFC Connectivity.
Because we're functioning off of absolutely nothing more than pure rumors and speculation, I might be looking at as well much into this and the i - Phone start has been and will carry on to be delayed for simple and extremely evident factors. Then it was dragged by a string and the results are there in front of you.

Also visit my web-site samsung galaxy s4

Anonymous said...

Third, let's say you are not satisfied with the camera that you purchased and you decide to change. You can buy these accessories and also the new at huge discounts and free shipping too only at. re photographing flowers, a captivating sunset, or your friends at the park, you can be confident that you.

my site - canon 6d

Anonymous said...

School-age kids have become the world's youngest i - Phone developers. If you don't
want to use the Apple remote there is another option.
For example, last year the media industry executives said Apple has been considering whether to launch subscription television services.


My page; new apple tv

Umesoma hizi hapa