![]() |
| MR/CALVIN AHADI |
we're trying to accomplish something.only gossip work for us.contact us on nitonyeni@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Umesoma hizi hapa
-
Wapare ni kabila kutoka milima ya Pare, Mkoa wa Kilimanjaro, kaskazini mwa nchi ya Tanzania. Lugha yao ni Kipare (au Chasu). Wapare wanat...
-
A series of official White House photographs brought together by Vanity Fair show the 'lean-back' nature of Barack Obama's ...
-
MR/CALVIN AHADI Ndio maana wanatembea na mahausi geli, machangudoa, mabaa medi, wanafunzi na kila mtu.wao wakifanya ngono n...
-
MISS. Dona Stephen Nianze kwa kuongea na wanawake. Kimaumbile wanaume wanapenda kuona wanasikilizwa na wake zao na hawakawii ‘kukuba...

5 comments:
Kweli kabisa. Wengi wao wanadai ngono ni kama chakula. Unakula kila unapojisikia na huwezi kula chakula cha aina moja daily.
Nyie wanaume nyie..!!
hawana maana kabisa ni viumbe hatari sana wanachezea mioyo ya watu tu na kisha kujiona wajanja.....na wasivyojua kuwa wanawake ni wajanja na wasiri kupindukia kwa ndani tunawapa vya kunyonga na nje tunatoa vya kuchinja.....endelee tu ila hamna ujanja wowote ktk hayo mataptap yenu................ukweli ndo huo pinga pangua
ukweli kabisa
wapo wanaume wa aina hiyo, ki ukweli sio tabia nzuri, has kwa nyakati kama hizi tulizo nazo magojwa kila kona, unakuta amemuacha mkewake mzuri mwenye kila sifa anatoka na watu wa ajabu, hipendezi heshimuni mausiano yenu, ukijiona bado unaitaji kuruka hakuna haja ya kuoa, ka ruke vizuri. coz ndoa sio majaribio.
Wanaume tumeumbwa kupenda ngono ndio maana hata dini nyingine zina taka kuoa wake zaidi ya mmoja
Post a Comment