Promote your business for free grow your business for life you don't need to spend more money anywhere.

THIS BLOG IS SPONSORED BY AHADIWAY ,ADVANTAGES FOR JOINING AHADIWAY BOON CAREER (ABC) CHAPTER = Employment opportunities within and outside the country. , Job experience , Self -employment , Field stations, part time jobs and chances to be trained.

Friday, March 25, 2011

maafa yavamia tena


Na Dunstan Shekidele, Morogoro
WATU wapatao 13 wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa vibaya katika ajali ya basi aina ya Coaster lenye namba za usajili T 361 BGE lililokuwa limebeba wanamuziki wa kundi la Five Stars Modern Taarab waliokuwa wakitokea Kyela-Mbeya kueleka jijini Dar.


Waliofariki katika ajali ya Bendi ya Five Star ni pamoja na 
Issa Kijoti, Omar Tolu, Haji Babu, Sheba Juma, Omar Hashim, Tizo Mgunga, Hamisa Mipango, Husna Mapande, Samir Maulid, hasan Ngereza, Rama Kinyoya, Nasoro Madenge na mcheza shoo mmoja.
Katika video hii hapo chini unaweza kumuona Issa Kijoti akiimba na wanamuziki wenzake


Pole kwa wale wote mlioathirika kwa kuangalia picha hizi.Tusisahau kwamba speed inaua na lazima tuwe makini tunapokuwa tumebeba wenzetu maana naamini kabisa kwamba familia nyingi zimeathirika kimaisha kutokana na ajali hii .Hungaz tunatoa pole kwa Familia za marehemu wote na majeruhi pia na kwa watanzania wote. Mungu aziweke roho za marehemu mahali pema peponi--AMINA
Kwa taarifa kamili na picha zaidi angalia hapa
Chanzo:http://www.globalpublishers.co

No comments:

Umesoma hizi hapa