Promote your business for free grow your business for life you don't need to spend more money anywhere.

THIS BLOG IS SPONSORED BY AHADIWAY ,ADVANTAGES FOR JOINING AHADIWAY BOON CAREER (ABC) CHAPTER = Employment opportunities within and outside the country. , Job experience , Self -employment , Field stations, part time jobs and chances to be trained.

Wednesday, May 23, 2012

MPENZI ANATAKA NYUMA anaomba ushauri afanyeje!!

kuna dada mmoja amenihadithia jambo akiomba ushauri anasema ana mpenzi wake wanaopendana sana wamekuwa pamoja kwa miaka mitano sasa, kila siku ya maisha yao haijawahi kutokea akajutia kuwa na huyo mpenzi wake..
kwa muda huo wote walikuwa wakikutana kimwili kwa njia ya kawaida tu ile ambayo inaruhusiwa kihalali na wala kulikuwa hamna tabu wala hamna mtu ambaye hakuridhika na starehe ambayo mwenzake anampa..
anachoshangaa yeye ni kwamba mwezi wa tatu huu sasa jamaa ananuna hataki hata kwenda nyumbani kwa huyo dada kisa jamaa amechoka kula mbele peke yake anataka kanga igeuzwe upande wa pili..
huyu dada alikataa na kumwambia hiyo siyo sahihi kwake, kitu mpenzi wake alichomjibu ni kwamba kwani wewe upo nji gani wasichana wenzako siku hizi wengi huwapa wapenzi wao upande wa pili kwa nini wewe hutaki kunipa? kama hutaki inamaana utaanza kumpa mtu mwengine ama unaona mimi sifai?
yule dada kwa uchungu anasemakila siku alikuwa anampigia simu mpenzi wake akilia akimuomba aachane na hayo mawazo, lakini kijana bado anadai anataka, anasema sasa umekuwa ugomvi mkubwa sana kati yao na anahisi wataachana kinachomuuma nikwamba anampenda sana mpenzi wake huyo, na mpenzi wake haelewi somo lengine kabisa huyu dada sasa hajui afanye nini...
akiomba ushauri kwa rafiki zake wengine wanamwambia ampe tu huyo mpenzi wake kwani atabadilisha wanaume wa ngapi? wengine wanamwambia hiyo ni dhambi kubwa lakini akitaka anaweza tu kumpa kwani dhambi ngapi amefanya tokea amezaliwa iwe hiyo moja? wengine humshauri kwamba siku hizi mpaka machangu wengi hutoa nyuma ama unataka aende akachukue kwao akileta magonjwa je?
wewe msomaji unamwambiaje?

No comments:

Umesoma hizi hapa