waliosoma shule ya sekondari ya malangari kukutana jijini dar

KUSANYIKO LITAKUWA TAREHE 5/2/2011 SAA 9 JIONI CHONYA INN (RIVER SIDE)MBELE KIDOGO YA LANDMARK HOTEL UBUNGO, UKITOKEA UBUNGO. TAFADHALI TUJULISHANE WENGINE. MAWASILIANO PIGA 0787525396
Tanzania receives ALMA award of Excellence in Addis Ababa
news alert: MV Magogoni yapata kwikwi leo
Habari zimeingia sasa hivi toka feri jijini Dar zinasema kwamba geti moja la pantoni ya MV Magogoni limekatika ikiwa njiani kutoka Kigamboni kuelekea Magogoni na kizaazaa cha aina yake kimeripotiwa baada ya abiria kuvamia maboya ya kuzuia kuzama ili kujinusuru. Bahati nzuri pantoni ilifika salama ng'ambo ya mjini na abiria kushuka salama bin salimini.
Hata hivyo wachunguzi wa mambo wameiambia Globu ya Jamii kwa sms kwamba ni MV Kigamboni pekee itakayoanza kazi kesho asubuhi na kutabiri foleni ya kufa mtu pamoja na kuchelewa wadau makazini.
Hata hivyo wachunguzi wa mambo wameiambia Globu ya Jamii kwa sms kwamba ni MV Kigamboni pekee itakayoanza kazi kesho asubuhi na kutabiri foleni ya kufa mtu pamoja na kuchelewa wadau makazini.
dkt john pombe magufuli awasha moto dar leo
Waziri wa Miundombinu, Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Mthamni Mwandamizi wa Wilaya ya Kinondoni, Einhard Chidaga, wakati alipokuwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Barabara ya Ubungo Maziwa, inayotokea Kigogo, wakati wa ziara hiyo iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam, wakati huo huo Waziri huyo ametoa siku tano kwa Meneja wa Mkoa kubomoa ofisi yake iliyopo Ubungo, ili iwe mfano kwa raia wengine wanaotakiwa kupitiwa na zoezi hilo la ubomoaji ili kupisha upanuzi wa Barabara na mradi wa Magari yaendayo kasi. Picha na mdau Muhidin Sufian.
maiti za vichanga 10 vyaokotwa jalalani dar leo

Pia Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Mh. Jordan Rugimbana naye amethibitisha tukio hilo na kuahidi kulitolea ufafanuzi ofisini kwake kesho saa sita kamili mchana. Pichani juu ni sehemu ya miili ya vichanga hao ambayo haikuweza kuoneshwa yote kwa sababu za kimaadili
mama bishanga aongea leo dar

Mama Bishanga ameongelea
mambo makuu matatu:
1. Umuhimu wa wasanii wa filamu na watendaji (wapiga picha, waongozaji, watu wa taa nk.) wafanye juu chini wasomee fani hiyo badala ya kutegemea uzoefu tu kwani bila weledi fani hio itadoda. Ameitaka serikali itoe kipaumbele mafunzo ya sanaa ya filamu kama zilivyo fani zinginezo.
2. Amesisitiza umuhimu wa uhalisia ambao unakosekana sana katika filamu za Tanzania kiasi nyingi zionaonekena kama maigizo yasiyo na mvuto. Amesisitiza umuhimu wa kuheshimu maadili ya nchi na kukataza kabisa waigizaji kucheza michezo ya ngono nje nje kwani hio si utamaduni wa mtanzania. Kuhusu filamu ya 'Shoga' inayozi9nduliwa wiki hii amesema ushoga si desturi ya Kitanzania na bila shaka filamu itapendwa kwani inatoa tahadhari ya tabia hio chafu. Ila amesema si vyema watu wakambeza mchezaji mkuu wa filamu hio kwa kudhani yeye ni shoga kweli, na kwamba huo sio ustaarabu kwani hata yeye aliwahi kusemwa mitaani na wenye uelewa mdogo kuwa ni mama mkatili baada ya kucheza kama mama mkwe mkatili.
3. Amewataka wasanii na wadau wa tasnia ya filamu kuendeleza libeneke kwani kazi zao zinaonekana na kuheshimika sana na kwamba wakiongezea weledi wa kwenda shule hakuna wa kuwagusa. Alimfagilia sana JK kwa kujituma kuendeleza michezo na sanaa, na kusema wasanii na wanamichezo wamuenzi Rais wetu kwa kujituma na kufanya vyema
watani wa jadi mmeumia!
Luis Suarez is set to complete his transfer to Liverpool on Monday after he passed his medical and agreed terms with the club.
The Reds have announced that all necessary medical checks have been carried out on the Ajax striker, with a statement on their website confirming: "Luis Suarez has successfully passed his medical and personal terms with the player have been agreed. We expect to complete the remainder of the paperwork tomorrow."
The 24-year-old, who has scored 111 goals in 159 games for Ajax, is expected to move to Anfield for a fee of £22.8 million and will be Kenny Dalglish's first signing since becoming manager for a second time.
It remains to be seen whether he will arrive as a partner for Fernando Torres, though, with Chelsea still to reveal whether or not they will make a second bid for the wantaway Spaniard.
The Premier League champions had a bid for the 26-year-old rejected last week, with Torres handing in a transfer request the day after.
The club rejected that while Chelsea manager Carlo Ancelotti was coy on the matter on Saturday, saying: "I don't know, we will have to wait. There is no change."
From Liverpool,
Tully, Rudewa Jr. of Eurosport

– It’s FREE and its EASY like ABC
The largest online collection of Tanzania Real Estate for rent or sale.Search properties by location, price/rent, amenities, and more!Property owners, to post your properties absolutely free of charge – Click Here.
See the example property listing below.When posting, have your pictures ready to upload. Although pictures are not required, properties with pictures are taken more seriously than those without and receive significantly more inquiries. To learn how to easily optimize your images for fast upload – Click Here.
If you would prefer the assistance of a dedicated real estate professional, check out the many reputable Tanzania Real Estate Agents currently listed on www.EverythingDAR.com.
We work very hard to provide Tanzanians and Tanzania residents a FREE and effective classifieds portal. As such, your opinion is very important to us and we welcome your feedback.
f you have suggestions for how we can improve www.EverythingDAR.com, we would love to hear from you. Please send your suggestions and feedback to info@EverythingDAR.com.Sincerely,
madereva taxi na bodaboda wapewa somo na jeshi la polisi mkoani kagera


washiriki wa shindano la kisura wa tanzania 2011 waanza kambi.


Mchakato wa kuwapata wasichana
hao, ulianza Desemba 11, mwaka jana, na kumalizika mapema mwezi wa kwanza, ukihusisha warembo kutoka mikoa ya Mwanza,Mara, Kagera, Shinyanga, Tabora, Dar es Salaam, Arusha, Manyara, Dodoma, Iringa,Mbeya na Ruvuma.
Akizungumza wakati wa kuwatambulisha warembo hao katika Hoteli ya Kiromo ViewResort, Mwenyekiti na Mwanzilishi wa mradi wa Kisura wa Tanzania, Juliana Urio kutoka kampuni ya Beautiful Tanzanie Agency (BTA), alisema kuwa warembo walioingia kambini, ni wale waliopita katika mchujo baada ya kukidhi vigezovinavyotakiwa.
Vigezo hivyo urefu wa sentimita174, mapaja 36, kiuno 25, kifua 36 na umri ni kati ya miaka 18-27, bila kujali kama mshiriki ameolewa, kuzaa au la.“Mwaka huu idadi ya warembo walioingia kambini imeongezeka, kutoka 20 kama ilivyokuwa awali hadi 25, hii ikitokana na mdhamini wetu Kiromo View Resort kutupa nafasi ya pekee ya kuongeza wasichana watano zaidi,” alisema.Urio aliwataja warembo walioingia kambini kuwa ni Neema Methew na Silipa Swai kutoka Mwanza, Lilian Bussa na Gaudencia Joseph (Mara), Beatrice James (Kagera),
Monica Fikiri na Angella Mombeki (Tabora).Wengine ni Suzana Manoko, Winnfrida Sabega, Rita Swai, Lethina Christoper, Joyce Joseph, Happiness Salimenya, Grace David (Dar es salaam), Dotinata Soro, Neema Kilango, Neema Seley (Arusha), Kipoyane Laibon (Manyara), Mariam-Kissa Isaack, Asha Hamisi, Flavian Makungwa, Lucy John (Dodoma) na Queen Kabisama (Ruvuma).
Alisema kuwa wakiwa kambini, warembo hao watapewa mafunzo mbalimbali kuhusiana na maisha yao binafsi na jinsi ya kukabiliana na changamoto zinazowazunguka katika maisha yao ya kila siku, ikiwa ni pamoja na kutembelea maeneo tofauti. Urio aliwapongeza warembo waliopata bahati ya kutinga fainali za shindano hilo,ikiwa ni pamoja na kuwashukuru wazazi waliowaruhusu watoto wao kujiunga shindano hilo, akiwaahidi ‘kuwapika’ vilivyo warembo hao ili waweze kuwa mfano wa kuigwa kwa jamii ya kitanzania kutokana na matendo yao.
Local Lads To Take On Corporations In Indoor Cricket League
Some 15 Dar-es-Salaam businessmen have joined forces to take on corporate sponsored teams in the fast paced world of indoor cricket. The public is invited to show support for the Hennessy Hitters, captained by Kishen Savani, by coming to their opening match at Funkys Orbit (Masaki) on Monday the 31st January, at 9pm.
Hennessy embodies the values of creativity, innovation and the art of living (LVMH). In line with this philosophy, and impressed by the team’s community spirit, Hennessy offered its sponsorship. This is the story of the Hennessy Hitters.
“The team was formed by a group of friends who played cricket when we were younger. “ says Captain Savani. “We have been training hard over the past few weeks, we have a strong squad and we look forward to winning this opening match”.
The Hennessy Hitters team comprises of the following, Kishen Savani (Captain), Chintu Patel (Vice-captain), Kevin Patel, Nishit Kanabar, Imran Hirji, Heri Bomani, Nadir Hirji, Nitesh Patel, Prahlad Nathwani, Rupesh Kanabar, Situ Ramji, Akash Patel, Pullen Manek, Anand Patel and Gopal Patel.
“Through patronage, we wish to give something back that is in the general interest and thereby share our economic success with everyone.” – LVMH (Louis Vuitton • Moët Hennessy)
The next 5 matches will be played on:
31/1 at 2100 Hrs
3/2 at 1840, 8/2 at 2100 Hrs
10/2 at 1950 Hrs
and 18/2 at 1840 Hrs
Hennessy Hitters Shall play their First Match
Against a team named 'Not So Hot Chilies'.
Hennessy embodies the values of creativity, innovation and the art of living (LVMH). In line with this philosophy, and impressed by the team’s community spirit, Hennessy offered its sponsorship. This is the story of the Hennessy Hitters.
“The team was formed by a group of friends who played cricket when we were younger. “ says Captain Savani. “We have been training hard over the past few weeks, we have a strong squad and we look forward to winning this opening match”.
The Hennessy Hitters team comprises of the following, Kishen Savani (Captain), Chintu Patel (Vice-captain), Kevin Patel, Nishit Kanabar, Imran Hirji, Heri Bomani, Nadir Hirji, Nitesh Patel, Prahlad Nathwani, Rupesh Kanabar, Situ Ramji, Akash Patel, Pullen Manek, Anand Patel and Gopal Patel.
“Through patronage, we wish to give something back that is in the general interest and thereby share our economic success with everyone.” – LVMH (Louis Vuitton • Moët Hennessy)
The next 5 matches will be played on:
31/1 at 2100 Hrs
3/2 at 1840, 8/2 at 2100 Hrs
10/2 at 1950 Hrs
and 18/2 at 1840 Hrs
Hennessy Hitters Shall play their First Match
Against a team named 'Not So Hot Chilies'.
ZAIDI YA WAGONJWA 263 WA FESTULA NA MDOMO WA SUNGURA WAMENUFAIKA NA HUDUMA YA M PESA
Mkurugenzi msaidizi wa hospitali ya CCBRT Haika Mawala akimkaribisha Mkurugenzi wa mahusiano na Vodacom Foundation Mwamvita Makamba wa pili toka kushoto akiambatana na Mkuu wa kitengo cha Safaricom Foundation-Kenya Sanda Ojiambo walipotembelea hospitali ya CCBRT kwa lengo la kujionea jinsi gani huduma ya Vodafone M pesa inavyosaidia wagonjwa wa fistula na mdomo wa sungura kwa kutumiwa fedha za nauli na matumizi ya njiani kwenye mikoa mbalimbali hapa nchini na kuja kutibiwa hospitalini hapo zaidi ya wagonjwa 263 wamenufaika na huduma hiyo.

Mkurugenzi wa mahusiano na Vodacom Foundation Mwamvita Makamba



1 comment:
great post! I love your site. glad that you share it with everyone.urgent care
Post a Comment