taarifa ya msiba
Tunasikitiza kutangaza kifo cha Pr. Joseph Shem Onyango (pichani) Kilichotokea jana mchana Kihonda, Morogoro kutokana na ajali ya barabarani. Mchungaji alikuwa akielekea kwenye kituo cha basi tayari kwa safari ya kwenda dar kushiriki katika sabato ya wageni jumamosi tarehe 18.9.10 kwenye kanisa la Tegeta.
Marehemu alizaliwa 1936 na amekuwa akilitumikia kanisa la waadeventista wasabato kwa zaidi ya miaka 40, Pr. atakumbukwa sana na watu wengi africa mashariki kutokana na huduma zake kwenye kanisa za kaya na familia pamoja na sera za ndoa.
Kwa masikitiko makubwa, tunawaletea taarifa za kifo cha PR JOSEPH ONYANGO
kilichotokea leo Morogoro Tanzania mnamo saa 11:00-UK time saa 7:00 mchana
(Tanzanian Time) kwa kugongwa na pikipiki.
Kwa wale wanaopenda kuwapa pole ifuatayo ndiyo anwani ya kijana wake
PAUL ONYANGO:
Flat 16
Block 14
Carcort
RG30 3PZ
Tafadhari tuwakumbuke waliobaki katika maombi yetu na faraja pia.
Mazishi yanategemewa kufanyika alhamisi mji wa morogoro.
Asanteni
we're trying to accomplish something.only gossip work for us.contact us on nitonyeni@gmail.com
Sunday, September 19, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Umesoma hizi hapa
-
KUJISTIRI ndio hasa lengo la awali la uvaaji. Na kupendeza ni jambo la pili ambalo limekuwa likizingatiwa sana na wanawake. Lakini ili haya...
-
Wapare ni kabila kutoka milima ya Pare, Mkoa wa Kilimanjaro, kaskazini mwa nchi ya Tanzania. Lugha yao ni Kipare (au Chasu). Wapare wanat...
-
Watu hawajawahi kuridhika, na kamwe hawajapata kutoshelezwa na kitu chochote, kufikia hatua ya kushuka chini toka shimo moja hadi kulifiki...
-
Baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali mjini Dodoma wameoza kwa matukio machafu ya ngono.. Uchunguzi wetu umebaini kuwa siyo kil...
No comments:
Post a Comment