Promote your business for free grow your business for life you don't need to spend more money anywhere.

THIS BLOG IS SPONSORED BY AHADIWAY ,ADVANTAGES FOR JOINING AHADIWAY BOON CAREER (ABC) CHAPTER = Employment opportunities within and outside the country. , Job experience , Self -employment , Field stations, part time jobs and chances to be trained.

Tuesday, October 16, 2012

Facebook itakua haipatikani Africa hivi karibuni na kushauriwa watu wajiunge na bonglob.com ambao ni mtandao wa Africa

Baadhi ya nchi za Africa zimeelewa kwanini facebook ilifungiwa China na nchi nyinginezo na kuamua kwamba kuanzia mwaka ujao 2013 mtandao huo wa kimarekani hautatumika tena.

imesemekana kwamba facebook hawalipi tax kwenye nchi nyingi hivyo kuamua kuufunga mtandao huo kutopatikana kabisa kwa nchi za  Africa.
wameshauri kwamba kila mmoja anatakiwa kujiunga na mtandao wa kiAfrica ambao kwa sasa unawatumiaji wasio pungua milioni mbili na mtandao huo utakua ukisaidia watu katika mambo mbalimbali ya kimaisha na
kuendelea kuwasiliana na marafiki zao kama ilivyo kwa Facebook na mengine mengi ya kuwa saidia.

kila mmoja anapaswa kua amejisajili na kuwa amewahamisha marafiki zake kwenye mtandao mpya ambao unatumika dunianzima unao wasaidia watu www.bonglob.com

unacho takiwa kufanya ni kujiunga alafu unapewa nafasi ya kuwahamisha marafiki zako kwa kubonyeza tuu ili usiwapoteze watu uliokua nao pindi facebook itakapo kua haipatika kabisa hivi karibuni.

pia unaweza uka download bonglob.com application kwenye computer yako kwa kubonyeza hapa au copy na pest hii link kwenye browser yako ili uweze kua na bonglob kwenye computer yako wakati wote


habari hizi ni kwa hisani ya nitonyeni nawe mtonye mwenzako

No comments:

Umesoma hizi hapa