Promote your business for free grow your business for life you don't need to spend more money anywhere.

THIS BLOG IS SPONSORED BY AHADIWAY ,ADVANTAGES FOR JOINING AHADIWAY BOON CAREER (ABC) CHAPTER = Employment opportunities within and outside the country. , Job experience , Self -employment , Field stations, part time jobs and chances to be trained.

Wednesday, May 18, 2011

AMBASSADORS OF CHRIST -WAGONJWA HOSPITAL



Mark Ndizeye

Grace Kavara

GARI LA AMBASSADORS OF CHRIST BAADA YA AJALI


Waimbaji wa Ambassadors of Christ walionusurika katika ajali iliyotokea Kahama,Shinyanga jumatatu iliyopita wakiimba mbele ya Gari lao jana huko,Kigali,Rwanda

MTANGAZAJI AENDELEA KUONA

Askali akizungumza na mashuhuda
Dreva taxi aliyetuhumiwa kuwasaidia majambazi akishushwa katika gari la polisi
Polisi wakipakia pikipiki ambazo zilitumiwa na majambazi


Mtangazaji aliposhuhudia wanausalama walipokuwa wakiwafuatilia majambazi waliosaidikiwa kuiba katika duka moja karibu na hospital ya Muhimbili wakisaidiwa na dreva taxi ambaye walimkamata.

MAJERUHI WA AJALI YA AMBASSADORS OF CHRIST WALIVYOPELEKWA RWANDA MEI 10

Umati wa watu wakiwasubiri kuwaona majeruhi wa ajali katika hospitali ya King Faisal
Helkopta ya kijeshi iliyowabeba majeruhi

Helkopta baada ya kutua
Askali wakimshusha mmoja wa majeruhi
Ndugu wakisubiri kuwaona majeruhi

Majeruhi wakipelekwa hospitalini









Mmoja wa waimbaji wa sauti ya nne wa Ambassadors of Christ akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali huko Rwanda

No comments:

Umesoma hizi hapa