CCM waruka kimanga
KAULI ya wiki iliyopita ya viongozi wa vyombo vya usalama wakiongozwa na Mnadhimu Mkuu Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Luteni Jenerali Abdulrahman Shimbo, kutaka vyama vya siasa kukubali matokeo ya uchaguzi, imeibua maoni mazito na kusababisha hofu miongoni mwa umma na wanasiasa, Raia Mwema limebaini.
Uchunguzi wa Raia Mwema wiki hii umebaini kuwapo kwa mijadala kuhusiana na kauli hiyo huku baadhi ya maofisa waandamizi wa JWTZ, wa sasa na wastaafu, wakitofautiana kuhusiana na muda wa kuitoa na ujumbe uliokusudiwa kupelekwa na wanasiasa, hasa wa Upinzani, wakiitafsiri kuwa ililenga kuwatisha wao, huku ikikibeba chama tawala.
Wakati Mgombea urais wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa, akilitaka Jeshi kutoa tamko mbadala linalofafanua kauli hiyo, wataalamu wawili wa mambo ya ulinzi na usalama wamezungumzia kauli hiyo wakiikosoa lakini pia wakiunga mkono sehemu ya tamko hilo.more click here
Uchunguzi wa Raia Mwema wiki hii umebaini kuwapo kwa mijadala kuhusiana na kauli hiyo huku baadhi ya maofisa waandamizi wa JWTZ, wa sasa na wastaafu, wakitofautiana kuhusiana na muda wa kuitoa na ujumbe uliokusudiwa kupelekwa na wanasiasa, hasa wa Upinzani, wakiitafsiri kuwa ililenga kuwatisha wao, huku ikikibeba chama tawala.
Wakati Mgombea urais wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa, akilitaka Jeshi kutoa tamko mbadala linalofafanua kauli hiyo, wataalamu wawili wa mambo ya ulinzi na usalama wamezungumzia kauli hiyo wakiikosoa lakini pia wakiunga mkono sehemu ya tamko hilo.more click here
No comments:
Post a Comment