Promote your business for free grow your business for life you don't need to spend more money anywhere.

THIS BLOG IS SPONSORED BY AHADIWAY ,ADVANTAGES FOR JOINING AHADIWAY BOON CAREER (ABC) CHAPTER = Employment opportunities within and outside the country. , Job experience , Self -employment , Field stations, part time jobs and chances to be trained.

Saturday, October 9, 2010

viongozi wetu hao



CCM waruka kimanga


KAULI ya wiki iliyopita ya viongozi wa vyombo vya usalama wakiongozwa na Mnadhimu Mkuu Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Luteni Jenerali Abdulrahman Shimbo, kutaka vyama vya siasa kukubali matokeo ya uchaguzi, imeibua maoni mazito na kusababisha hofu miongoni mwa umma na wanasiasa, Raia Mwema limebaini.
Uchunguzi wa Raia Mwema wiki hii umebaini kuwapo kwa mijadala kuhusiana na kauli hiyo huku baadhi ya maofisa waandamizi wa JWTZ, wa sasa na wastaafu, wakitofautiana kuhusiana na muda wa kuitoa na ujumbe uliokusudiwa kupelekwa na wanasiasa, hasa wa Upinzani, wakiitafsiri kuwa ililenga kuwatisha wao, huku ikikibeba chama tawala.
Wakati Mgombea urais wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa, akilitaka Jeshi kutoa tamko mbadala linalofafanua kauli hiyo, wataalamu wawili wa mambo ya ulinzi na usalama wamezungumzia kauli hiyo wakiikosoa lakini pia wakiunga mkono sehemu ya tamko hilo.more click here

No comments:

Umesoma hizi hapa