MDAHALO WA FAMILIA UNAPOZUA MZOZO
Siku moja mtu na mkewe walikuwa wanabishana ni nani muoga kuliko mwenziwe,mume anasema mke muoga na mke anasema mume muoga ndipo walipoamua kuwauliza watoto wao:
Baba = Naomba kuwauliza ni na nani kati ya mimi na mama yenu alie mwoga zaidi?
Mtoto 1 = mama mwoga sababu anaogopa hata kutoka nje usiku wakati baba akiwa amesafiri.
Mtoto 2 = Baba ndio muoga zaidi maana anaogopa kulala peke yake mama kama siku akiondoka anamuita Msichana wakazi analala nae !!!!by fj.
we're trying to accomplish something.only gossip work for us.contact us on nitonyeni@gmail.com
Wednesday, October 13, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Umesoma hizi hapa
-
Wapare ni kabila kutoka milima ya Pare, Mkoa wa Kilimanjaro, kaskazini mwa nchi ya Tanzania. Lugha yao ni Kipare (au Chasu). Wapare wanat...
-
usifikiri utamu wa kufanya ngono kwamba uko ndani no way.utamu uko juu wewe kama hujui jua leo usifikiri ukiwa na kubwa ndefu ndio wanawake ...
-
Hivi unajua kuwa kingereza ni lugha ya wanyama! maana paka akiona unamcheweleshea maziwa anakwmbia "NOW" ...
-
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo September 20 2013 . . . . . . . . . . . . ....
1 comment:
ha ha ha naughty man..i like this..
Post a Comment