we're trying to accomplish something.only gossip work for us.contact us on nitonyeni@gmail.com
Monday, October 4, 2010
MATIKU THOMAS
Tunasikitika kuwatangazia kifo cha Mchungaji MATIKU THOMAS NYITAMBE
kilichotokea leo huko TARIME, MUSOMA-TANZANIA kwa ajali ya gari.
Marehemu alikuwa anasafiri na mpenzi mkewe ambaye naye inasadikika
amepata majeraha. Ni jioni hii tu ndio ametolewa kwenye chumba cha ICU
(Intensive Care Unit).
Marehemu ni baba mzazi wa:
1. Beatrice Chisumo
2. Veronica Dibogo na,
3. Sony
ambao wote wapo hapa Uingereza.
Msiba upo
14 Rothwell Walk
Caversham
Reading
RG4 5DB
Kwa mawasiliano zaidi tumia simu zifuatazo:
Benard Chisumo
Mob: (0) 787 612 6862
Home: (0) 118 954 5890
Familia ya Chisumo inapanga kusafiri ikiwa tu watafanikiwa kupata nauli.
Tunaomba ushirikiano wenu katika hili.
Mungu awajalie neema yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Umesoma hizi hapa
-
Wapare ni kabila kutoka milima ya Pare, Mkoa wa Kilimanjaro, kaskazini mwa nchi ya Tanzania. Lugha yao ni Kipare (au Chasu). Wapare wanat...
-
KUJISTIRI ndio hasa lengo la awali la uvaaji. Na kupendeza ni jambo la pili ambalo limekuwa likizingatiwa sana na wanawake. Lakini ili haya...
-
Baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali mjini Dodoma wameoza kwa matukio machafu ya ngono.. Uchunguzi wetu umebaini kuwa siyo kil...
-
watu wengi wanajikuta ni waathirika wa mchezo wa kudandia ukuta kwa sababu kadhaa. Mosi ni stori za vijiweni, kwamba wanaume wanadanganyika ...
No comments:
Post a Comment