we're trying to accomplish something.only gossip work for us.contact us on nitonyeni@gmail.com
Thursday, September 16, 2010
tanzania siasa haileweki
habari za kusikitisha sana wakati Raisi anaangu mtu anasimama na kusema ccm oyee.Hivi kweli hili ni jambo la kufurahisha?heb tuliangalie kwa umakini sana au huyu mtu aliua anajua kinachoendelea hadi aseme ccm oyee.hivi jamani ni haki kweli hii.mi nataka huyumtu aliyesema ccm oyee wakati alipo anguka raisi afanywe uchunguzi wa kina maana lilelilikua ni jambo la huzuni yeye analifurahia sio haki kabisa maana ni kitu ambacho watu wote wame kiona dunia nzima sio tanzania peke yae.hebu toeni maoni yeanu jamani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Umesoma hizi hapa
-
Ndugu yetu Maira wa chama cha mapinduzi aamua kurudi nyumbali kiukweli baada ya kuona ni vyema kujenga taifa lake. Akiongea kwa masikitiko...
-
I got this from a contact. US Senate has passed the 'Obama Health Care' bill into law& the implementation would commence on 23/...
-
Best of Miss. Diana Mchalla we all love this pic and pozzy. congratulation and enjoy most of your time.more to come just tune in www.niton...
-
watu wengi wanajikuta ni waathirika wa mchezo wa kudandia ukuta kwa sababu kadhaa. Mosi ni stori za vijiweni, kwamba wanaume wanadanganyika ...
No comments:
Post a Comment