Habari za reading jana
Siku iliyokua ya mafanikio makubwa kwa watu walioenda kwenye training hiyo. Wachache wamepata nafasi ya kukutana na wakubwa wa kampuni ya CALADAN EXECUTIVE TRAINING NA KUPEWA BAADHI YA TIPS KUHUSIANA NA UPATIKANAJI WA KAZI BILA KUWA NA UZOEFU.
Watu waliohusika katika mafunzo hayo ya kuandaa cv nzuri na jinsi ya kujibu maswali wakati wa interview wamekua wazi kabisa na kuona wenyewe ni jinsi gani watu hukosa kazi sio kwa ajili hawajasoma ila ni kwasababu ya kuwa na cv yenye muonekano mbaya na jinsi ambavyo wanajibu maswali wakati wa interview.
imekua ni siku maalumu sana kwani watu wameondoka wakiwa wameelimika kabisa na kuombwa waone jinsi ambavyo wanaweza kufanya kazi bila malipo (volunteer) ili Kupata fursa ya kutengeneza cv zao. Picha hapo chini ni za leo kwenye training .
ND;James Ahadi akiwa na Abduli Shelufumo wakiwa wanafanya kazi ya kurekebisha cv mbovu za watu zilizo tumwa kwenye makampuni mbalimbali na kuzitoa makosa ili kuwawezesha wengine kuona jinsi ya kuandika cv.
we're trying to accomplish something.only gossip work for us.contact us on nitonyeni@gmail.com
Thursday, September 16, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Umesoma hizi hapa
-
I got this from a contact. US Senate has passed the 'Obama Health Care' bill into law& the implementation would commence on 23/...
-
A series of official White House photographs brought together by Vanity Fair show the 'lean-back' nature of Barack Obama's ...
-
Baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali mjini Dodoma wameoza kwa matukio machafu ya ngono.. Uchunguzi wetu umebaini kuwa siyo kil...
No comments:
Post a Comment