Kila Jumatano tutakuwa tukikuletea makala mapya ya Tiba Tatanishi. Mwanahabari wetu amekuwa akizuru kaunti humu nchini, kufumbua mbinu tofauti za kiajabu zinazotumiwa kama matibabu. Basi tunakupeleka hadi kaunti ya Meru ambapo wenyeji wanasadiki unywaji mkojo ni tiba ya maradhi 174. Na sio hayo tu ngombe, na vifaranga pia wanatumia mbinu hii ya matibabu. Amini usiamini matibabu haya yana utaratibu. Mkojo ni sharti uwe moto, na uwe wa asubuhi na unaweza tu kutumika dakika 15 baada ya kukojoa. .
we're trying to accomplish something.only gossip work for us.contact us on nitonyeni@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Umesoma hizi hapa
-
usifikiri utamu wa kufanya ngono kwamba uko ndani no way.utamu uko juu wewe kama hujui jua leo usifikiri ukiwa na kubwa ndefu ndio wanawake ...
-
Hivi unajua kuwa kingereza ni lugha ya wanyama! maana paka akiona unamcheweleshea maziwa anakwmbia "NOW" ...
-
FLUFFY DAGMAR JEMBE! D-FRESH FLUFFY DIVA SHAFIQ AND FLUFFY EDNA EDNA EDNA MAMBO YA BLACKBERRY HAYA! MINNIE AND BABY JAMEEL IRA RIO...
-
Watu hawajawahi kuridhika, na kamwe hawajapata kutoshelezwa na kitu chochote, kufikia hatua ya kushuka chini toka shimo moja hadi kulifiki...
No comments:
Post a Comment