Kila Jumatano tutakuwa tukikuletea makala mapya ya Tiba Tatanishi. Mwanahabari wetu amekuwa akizuru kaunti humu nchini, kufumbua mbinu tofauti za kiajabu zinazotumiwa kama matibabu. Basi tunakupeleka hadi kaunti ya Meru ambapo wenyeji wanasadiki unywaji mkojo ni tiba ya maradhi 174. Na sio hayo tu ngombe, na vifaranga pia wanatumia mbinu hii ya matibabu. Amini usiamini matibabu haya yana utaratibu. Mkojo ni sharti uwe moto, na uwe wa asubuhi na unaweza tu kutumika dakika 15 baada ya kukojoa. .
we're trying to accomplish something.only gossip work for us.contact us on nitonyeni@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Umesoma hizi hapa
-
Wapare ni kabila kutoka milima ya Pare, Mkoa wa Kilimanjaro, kaskazini mwa nchi ya Tanzania. Lugha yao ni Kipare (au Chasu). Wapare wanat...
-
A series of official White House photographs brought together by Vanity Fair show the 'lean-back' nature of Barack Obama's ...
-
MR/CALVIN AHADI Ndio maana wanatembea na mahausi geli, machangudoa, mabaa medi, wanafunzi na kila mtu.wao wakifanya ngono n...
-
MISS. Dona Stephen Nianze kwa kuongea na wanawake. Kimaumbile wanaume wanapenda kuona wanasikilizwa na wake zao na hawakawii ‘kukuba...
No comments:
Post a Comment