Kila Jumatano tutakuwa tukikuletea makala mapya ya Tiba Tatanishi. Mwanahabari wetu amekuwa akizuru kaunti humu nchini, kufumbua mbinu tofauti za kiajabu zinazotumiwa kama matibabu. Basi tunakupeleka hadi kaunti ya Meru ambapo wenyeji wanasadiki unywaji mkojo ni tiba ya maradhi 174. Na sio hayo tu ngombe, na vifaranga pia wanatumia mbinu hii ya matibabu. Amini usiamini matibabu haya yana utaratibu. Mkojo ni sharti uwe moto, na uwe wa asubuhi na unaweza tu kutumika dakika 15 baada ya kukojoa. .
we're trying to accomplish something.only gossip work for us.contact us on nitonyeni@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Umesoma hizi hapa
-
I got this from a contact. US Senate has passed the 'Obama Health Care' bill into law& the implementation would commence on 23/...
-
A series of official White House photographs brought together by Vanity Fair show the 'lean-back' nature of Barack Obama's ...
-
Ndugu yetu Maira wa chama cha mapinduzi aamua kurudi nyumbali kiukweli baada ya kuona ni vyema kujenga taifa lake. Akiongea kwa masikitiko...
-
watu wengi wanajikuta ni waathirika wa mchezo wa kudandia ukuta kwa sababu kadhaa. Mosi ni stori za vijiweni, kwamba wanaume wanadanganyika ...
No comments:
Post a Comment