Kila Jumatano tutakuwa tukikuletea makala mapya ya Tiba Tatanishi. Mwanahabari wetu amekuwa akizuru kaunti humu nchini, kufumbua mbinu tofauti za kiajabu zinazotumiwa kama matibabu. Basi tunakupeleka hadi kaunti ya Meru ambapo wenyeji wanasadiki unywaji mkojo ni tiba ya maradhi 174. Na sio hayo tu ngombe, na vifaranga pia wanatumia mbinu hii ya matibabu. Amini usiamini matibabu haya yana utaratibu. Mkojo ni sharti uwe moto, na uwe wa asubuhi na unaweza tu kutumika dakika 15 baada ya kukojoa. .
we're trying to accomplish something.only gossip work for us.contact us on nitonyeni@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Umesoma hizi hapa
-
KUJISTIRI ndio hasa lengo la awali la uvaaji. Na kupendeza ni jambo la pili ambalo limekuwa likizingatiwa sana na wanawake. Lakini ili haya...
-
Wapare ni kabila kutoka milima ya Pare, Mkoa wa Kilimanjaro, kaskazini mwa nchi ya Tanzania. Lugha yao ni Kipare (au Chasu). Wapare wanat...
-
watu wengi wanajikuta ni waathirika wa mchezo wa kudandia ukuta kwa sababu kadhaa. Mosi ni stori za vijiweni, kwamba wanaume wanadanganyika ...
-
Baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali mjini Dodoma wameoza kwa matukio machafu ya ngono.. Uchunguzi wetu umebaini kuwa siyo kil...
No comments:
Post a Comment