Promote your business for free grow your business for life you don't need to spend more money anywhere.

THIS BLOG IS SPONSORED BY AHADIWAY ,ADVANTAGES FOR JOINING AHADIWAY BOON CAREER (ABC) CHAPTER = Employment opportunities within and outside the country. , Job experience , Self -employment , Field stations, part time jobs and chances to be trained.

Friday, June 29, 2012

Huyu ndiye Dr. aliye adhirika kutokana na kauli ya waziri mkuu Pinda

Mtetezi wa madactari apigwa karibu na kufa.Ndiye muathirika wa kwanza kutokana na kauli ya waziri mkuu Pinda aliyosema LIWALO NA LIWE.
Kwa mpango huu kweli huyu jamaa ataweza kufanya kazi yake kweli? Kama mawaziri wakuu wanaweza kufanya watu hivi kwa sababu ya kutetea haki yao Tanzania imeoza kabisa sasa
Dk. Steven

No comments:

Umesoma hizi hapa