we're trying to accomplish something.only gossip work for us.contact us on nitonyeni@gmail.com
Tuesday, May 10, 2011
Huruma!....
Mtoto huyu ambaye anasoma shule ya Viziwi Iringa haoni, haongei wala hasikii. Inamaana tangu azaliwe hajaona chochote, hajasikia wala hajazungumza. Niambie maisha gani haya.... Kiukweli anahitaji kupendwa, kujaliwa na kuthaminiwa! hakuna anayejua nini huwa anakiwaza...na mara zote akiwa na shida hulia kwa sauti kubwa! Swali...hivi anavipata vitu hivi?...Mungu amsaidie sana...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Umesoma hizi hapa
-
KUJISTIRI ndio hasa lengo la awali la uvaaji. Na kupendeza ni jambo la pili ambalo limekuwa likizingatiwa sana na wanawake. Lakini ili haya...
-
Wapare ni kabila kutoka milima ya Pare, Mkoa wa Kilimanjaro, kaskazini mwa nchi ya Tanzania. Lugha yao ni Kipare (au Chasu). Wapare wanat...
-
watu wengi wanajikuta ni waathirika wa mchezo wa kudandia ukuta kwa sababu kadhaa. Mosi ni stori za vijiweni, kwamba wanaume wanadanganyika ...
-
Watu hawajawahi kuridhika, na kamwe hawajapata kutoshelezwa na kitu chochote, kufikia hatua ya kushuka chini toka shimo moja hadi kulifiki...
No comments:
Post a Comment