Promote your business for free grow your business for life you don't need to spend more money anywhere.

THIS BLOG IS SPONSORED BY AHADIWAY ,ADVANTAGES FOR JOINING AHADIWAY BOON CAREER (ABC) CHAPTER = Employment opportunities within and outside the country. , Job experience , Self -employment , Field stations, part time jobs and chances to be trained.

Friday, November 12, 2010

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

Bi. Anna Makinda.
Bi. Anna Makinda ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Njombe Kusini kupitia CCM, Anna Makinda ndiye aliyeibuka kidedea katika kinyang'anyiro cha kumtafuta Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, zoezi lililofanyika bungeni mjini Dodoma leo hii. Makinda amemshinda mpinzani wake, Mabere Marando kwa kujizolea jumla ya kura 265 wakati Marando akiambulia kura 53 kati ya kura zote zilizopigwa na Wabunge. Zoezi linaloendelea sasa ni kumwapisha Spika huyo mpya.

No comments:

Umesoma hizi hapa