Bi. Anna Makinda.
Bi. Anna Makinda ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Njombe Kusini kupitia CCM, Anna Makinda ndiye aliyeibuka kidedea katika kinyang'anyiro cha kumtafuta Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, zoezi lililofanyika bungeni mjini Dodoma leo hii. Makinda amemshinda mpinzani wake, Mabere Marando kwa kujizolea jumla ya kura 265 wakati Marando akiambulia kura 53 kati ya kura zote zilizopigwa na Wabunge. Zoezi linaloendelea sasa ni kumwapisha Spika huyo mpya.
we're trying to accomplish something.only gossip work for us.contact us on nitonyeni@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Umesoma hizi hapa
-
Wapare ni kabila kutoka milima ya Pare, Mkoa wa Kilimanjaro, kaskazini mwa nchi ya Tanzania. Lugha yao ni Kipare (au Chasu). Wapare wanat...
-
KUJISTIRI ndio hasa lengo la awali la uvaaji. Na kupendeza ni jambo la pili ambalo limekuwa likizingatiwa sana na wanawake. Lakini ili haya...
-
watu wengi wanajikuta ni waathirika wa mchezo wa kudandia ukuta kwa sababu kadhaa. Mosi ni stori za vijiweni, kwamba wanaume wanadanganyika ...
-
Baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali mjini Dodoma wameoza kwa matukio machafu ya ngono.. Uchunguzi wetu umebaini kuwa siyo kil...
No comments:
Post a Comment