we're trying to accomplish something.only gossip work for us.contact us on nitonyeni@gmail.com
Promote your business for free grow your business for life you don't need to spend more money anywhere.
Tuesday, November 2, 2010
Augustino Lyatonga Mrema Na Freeman Mbowe Warudi Bungeni
Mwenyekiti wa TLP Mh. Augustino Lyatonga Mrema akishangiliwa na wafuasi wake wakati wa kampeni. Leo ametangazwa kuwa Mbunge mteule wa Jimbo la Vunjo baada ya kushinda kwenye kinyang'anyiro cha kiti hicho baada ya kukaa nje kwa muongo mmoja
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe
ameshinda uchaguzi Jimbo la Hai na kurejea bungeni tena
No comments:
Post a Comment