Promote your business for free grow your business for life you don't need to spend more money anywhere.

THIS BLOG IS SPONSORED BY AHADIWAY ,ADVANTAGES FOR JOINING AHADIWAY BOON CAREER (ABC) CHAPTER = Employment opportunities within and outside the country. , Job experience , Self -employment , Field stations, part time jobs and chances to be trained.

Tuesday, November 2, 2010

Augustino Lyatonga Mrema Na Freeman Mbowe Warudi Bungeni

Mwenyekiti wa TLP Mh. Augustino Lyatonga Mrema akishangiliwa na wafuasi wake wakati wa kampeni. Leo ametangazwa kuwa Mbunge mteule wa Jimbo la Vunjo baada ya kushinda kwenye kinyang'anyiro cha kiti hicho baada ya kukaa nje kwa muongo mmoja





Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe
ameshinda uchaguzi Jimbo la Hai na kurejea bungeni tena
kama mbunge baada ya kuwa nje kwa miaka mitano

No comments:

Umesoma hizi hapa