Promote your business for free grow your business for life you don't need to spend more money anywhere.

THIS BLOG IS SPONSORED BY AHADIWAY ,ADVANTAGES FOR JOINING AHADIWAY BOON CAREER (ABC) CHAPTER = Employment opportunities within and outside the country. , Job experience , Self -employment , Field stations, part time jobs and chances to be trained.

Friday, October 1, 2010

Habari Tanzania leo

Hivi ni kweli ccm itashinda?sielewi kabisa labda kama watanzania watakua wemelala.yaani itakuaje tusiwe na mabadiliko kidogo kila wakati tu ni habari hizo hizo.naomba jamani watanzania tuamke maana huu sio uunwana tunajinyanyasa wenyewe. na inabidi itoke ili vijana waingie serikalini tutaongozwaje na viongozi wasio jua hta kutumia computer wanayo jua tu ni kungombanma bungeni.hii sio halali kabisa.nawaomba tufikirie sana.katika kipindi cha miaka mitano raisi anatembelea tu nchi za watu hatulii nyumbani sasa anakuja na stile mpya.jamani hebu naomba tuchagie hii mada hapa toa maoni yako hapo chin ili tuchague kiongozi anaye tufaa

No comments:

Umesoma hizi hapa