Promote your business for free grow your business for life you don't need to spend more money anywhere.

THIS BLOG IS SPONSORED BY AHADIWAY ,ADVANTAGES FOR JOINING AHADIWAY BOON CAREER (ABC) CHAPTER = Employment opportunities within and outside the country. , Job experience , Self -employment , Field stations, part time jobs and chances to be trained.

Friday, October 1, 2010

Flora Bahati havumi lakini yumo

Jamani dada huyu yupo face book na amwpiga picha na watu wengi wa maana na wengi wao hawajaoa siji anaji nanii au vipi.
lakiani kapiga picha na Simon mwenye X FACTA AMERICA GOT TALEN.
sasa sis tuataka tumuulize na wiki ijayo tutawaletea video ya mahojiano kati yetu na yeye.karibuni nitonye kwenye umbea live.
ukweli ni kwamba huyu dada ni mtu anaye jipenda sana na anajituma hasa kwa watu wenye nazo na kupiga picha nao sielewi anataka nini hebu tumuhoji na mwenye swali amuulize hapa hapa maana umbee kwtu jadi bwana au we hujui?

1 comment:

Anonymous said...

HAHAHAHHAAA, DUUU, SIJUI NI ANDIKE KWA KICHAGA... HIVI WATANZANIA TUTAKAA TUENDELEE KWELI, YANI KILA KUKIKUCHA NIKUMCHUNGUZA MWENZIO AISHIJE, BADALA YAKUFIKIRIA MAISHA YAKO , SASA NIKIPIGA PICHA NA WATU TENA NA WANAZO , YAHUUUU. MBONA NAWE USIENDE KUPIGA AU MSIENDE KUPIGA NAO PIA, KWANI HAMUWAONI NA CAMERA HAMZIONI HUMO MADUKANI.YANI KWELI MIMI NI MTU AMBAYE SIJALI , HATA MSEMENINI HATA MUWEKE PICHA MPAKA ZA SIJUI NINI . SIJALI NA TENA NDIYO NIPO JUUUU, UKINIWEKA KWA BLOG ZENU .NIPO JUUUUUUU. KAZI KWENU . NA HAHOJIWI FLORA BAHATI LYIMO.HAPA. NA ULISAHAU NA KUWEKA LYIMO. HAHAHAA, KATAFUTENI JINSI YA KUIJENGA TANZANIA YETU JAMANI!!!

Umesoma hizi hapa