we're trying to accomplish something.only gossip work for us.contact us on nitonyeni@gmail.com
Sunday, September 19, 2010
"The thing is .......Mimi ni staa......I'm a Star" hivyo ndivyo anavyojitambua msanii mdogo mwenye makeke nchini Tanzania, Elizabeth Michael (16), ambaye anajulikana zaidi kwa jina la LULU! Baada ya habari yake ya kulewa chakari kuteka hisia za watu jana, mtandao huu umemtafuta na kufanyanae mahojiano na kueleza kila kitu kuhusu tabia yake na kusisitiza kuwa hivyo ndivyo alivyo...bonyeza Player umsikilize!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Umesoma hizi hapa
-
I got this from a contact. US Senate has passed the 'Obama Health Care' bill into law& the implementation would commence on 23/...
-
A series of official White House photographs brought together by Vanity Fair show the 'lean-back' nature of Barack Obama's ...
-
Watu hawajawahi kuridhika, na kamwe hawajapata kutoshelezwa na kitu chochote, kufikia hatua ya kushuka chini toka shimo moja hadi kulifiki...
1 comment:
this is bull shit huyo mtoto anaitaji mwongozo kwanza hapa hajui maana ya star star ni kioo ndio maana wanaandikwa na ndio maana wanaishi kwa maadili maana ni kioo cha jamii kwa mavazi yake tu anaoneka anajiachia sana kama sasa anaongea hivyo sijui hakifika 30's na star sio kujitenga ni mambo yake mpeni darasa bado hana utoto sana huyo na kuandika hata andikwa sana na hii interview mara mvua inamnyeshea all is crap mwambieni haonge kiswahili anatuzingua
Post a Comment