Promote your business for free grow your business for life you don't need to spend more money anywhere.

THIS BLOG IS SPONSORED BY AHADIWAY ,ADVANTAGES FOR JOINING AHADIWAY BOON CAREER (ABC) CHAPTER = Employment opportunities within and outside the country. , Job experience , Self -employment , Field stations, part time jobs and chances to be trained.

Sunday, September 19, 2010

"The thing is .......Mimi ni staa......I'm a Star" hivyo ndivyo anavyojitambua msanii mdogo mwenye makeke nchini Tanzania, Elizabeth Michael (16), ambaye anajulikana zaidi kwa jina la LULU! Baada ya habari yake ya kulewa chakari kuteka hisia za watu jana, mtandao huu umemtafuta na kufanyanae mahojiano na kueleza kila kitu kuhusu tabia yake na kusisitiza kuwa hivyo ndivyo alivyo...bonyeza Player umsikilize!



 

1 comment:

Anonymous said...

this is bull shit huyo mtoto anaitaji mwongozo kwanza hapa hajui maana ya star star ni kioo ndio maana wanaandikwa na ndio maana wanaishi kwa maadili maana ni kioo cha jamii kwa mavazi yake tu anaoneka anajiachia sana kama sasa anaongea hivyo sijui hakifika 30's na star sio kujitenga ni mambo yake mpeni darasa bado hana utoto sana huyo na kuandika hata andikwa sana na hii interview mara mvua inamnyeshea all is crap mwambieni haonge kiswahili anatuzingua

Umesoma hizi hapa