we're trying to accomplish something.only gossip work for us.contact us on nitonyeni@gmail.com
Thursday, September 16, 2010
tanzania siasa haileweki
habari za kusikitisha sana wakati Raisi anaangu mtu anasimama na kusema ccm oyee.Hivi kweli hili ni jambo la kufurahisha?heb tuliangalie kwa umakini sana au huyu mtu aliua anajua kinachoendelea hadi aseme ccm oyee.hivi jamani ni haki kweli hii.mi nataka huyumtu aliyesema ccm oyee wakati alipo anguka raisi afanywe uchunguzi wa kina maana lilelilikua ni jambo la huzuni yeye analifurahia sio haki kabisa maana ni kitu ambacho watu wote wame kiona dunia nzima sio tanzania peke yae.hebu toeni maoni yeanu jamani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Umesoma hizi hapa
-
KUJISTIRI ndio hasa lengo la awali la uvaaji. Na kupendeza ni jambo la pili ambalo limekuwa likizingatiwa sana na wanawake. Lakini ili haya...
-
Wapare ni kabila kutoka milima ya Pare, Mkoa wa Kilimanjaro, kaskazini mwa nchi ya Tanzania. Lugha yao ni Kipare (au Chasu). Wapare wanat...
-
watu wengi wanajikuta ni waathirika wa mchezo wa kudandia ukuta kwa sababu kadhaa. Mosi ni stori za vijiweni, kwamba wanaume wanadanganyika ...
-
Watu hawajawahi kuridhika, na kamwe hawajapata kutoshelezwa na kitu chochote, kufikia hatua ya kushuka chini toka shimo moja hadi kulifiki...
No comments:
Post a Comment