MDAHALO WA FAMILIA UNAPOZUA MZOZO
Siku moja mtu na mkewe walikuwa wanabishana ni nani muoga kuliko mwenziwe,mume anasema mke muoga na mke anasema mume muoga ndipo walipoamua kuwauliza watoto wao:
Baba = Naomba kuwauliza ni na nani kati ya mimi na mama yenu alie mwoga zaidi?
Mtoto 1 = mama mwoga sababu anaogopa hata kutoka nje usiku wakati baba akiwa amesafiri.
Mtoto 2 = Baba ndio muoga zaidi maana anaogopa kulala peke yake mama kama siku akiondoka anamuita Msichana wakazi analala nae !!!!by fj.
we're trying to accomplish something.only gossip work for us.contact us on nitonyeni@gmail.com
Wednesday, October 13, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Umesoma hizi hapa
-
Ndugu yetu Maira wa chama cha mapinduzi aamua kurudi nyumbali kiukweli baada ya kuona ni vyema kujenga taifa lake. Akiongea kwa masikitiko...
-
Baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali mjini Dodoma wameoza kwa matukio machafu ya ngono.. Uchunguzi wetu umebaini kuwa siyo kil...
-
Wapare ni kabila kutoka milima ya Pare, Mkoa wa Kilimanjaro, kaskazini mwa nchi ya Tanzania. Lugha yao ni Kipare (au Chasu). Wapare wanat...
-
watu wengi wanajikuta ni waathirika wa mchezo wa kudandia ukuta kwa sababu kadhaa. Mosi ni stori za vijiweni, kwamba wanaume wanadanganyika ...
-
I got this from a contact. US Senate has passed the 'Obama Health Care' bill into law& the implementation would commence on 23/...
1 comment:
ha ha ha naughty man..i like this..
Post a Comment