we're trying to accomplish something.only gossip work for us.contact us on nitonyeni@gmail.com
Sunday, September 19, 2010
"The thing is .......Mimi ni staa......I'm a Star" hivyo ndivyo anavyojitambua msanii mdogo mwenye makeke nchini Tanzania, Elizabeth Michael (16), ambaye anajulikana zaidi kwa jina la LULU! Baada ya habari yake ya kulewa chakari kuteka hisia za watu jana, mtandao huu umemtafuta na kufanyanae mahojiano na kueleza kila kitu kuhusu tabia yake na kusisitiza kuwa hivyo ndivyo alivyo...bonyeza Player umsikilize!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Umesoma hizi hapa
-
Ndugu yetu Maira wa chama cha mapinduzi aamua kurudi nyumbali kiukweli baada ya kuona ni vyema kujenga taifa lake. Akiongea kwa masikitiko...
-
Baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali mjini Dodoma wameoza kwa matukio machafu ya ngono.. Uchunguzi wetu umebaini kuwa siyo kil...
-
Wapare ni kabila kutoka milima ya Pare, Mkoa wa Kilimanjaro, kaskazini mwa nchi ya Tanzania. Lugha yao ni Kipare (au Chasu). Wapare wanat...
-
watu wengi wanajikuta ni waathirika wa mchezo wa kudandia ukuta kwa sababu kadhaa. Mosi ni stori za vijiweni, kwamba wanaume wanadanganyika ...
-
I got this from a contact. US Senate has passed the 'Obama Health Care' bill into law& the implementation would commence on 23/...
1 comment:
this is bull shit huyo mtoto anaitaji mwongozo kwanza hapa hajui maana ya star star ni kioo ndio maana wanaandikwa na ndio maana wanaishi kwa maadili maana ni kioo cha jamii kwa mavazi yake tu anaoneka anajiachia sana kama sasa anaongea hivyo sijui hakifika 30's na star sio kujitenga ni mambo yake mpeni darasa bado hana utoto sana huyo na kuandika hata andikwa sana na hii interview mara mvua inamnyeshea all is crap mwambieni haonge kiswahili anatuzingua
Post a Comment